Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefungua Tamasha la Mwaka Kogwa Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja leo 16-07-2024



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wazee wa Kamati ya Mwaka Kongwa, alipowasili Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya ufunguzi wa Tamasha la Mwaka Kogwa lililofanyika leo 16-7-2024,katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi  Wilaya ya Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa Makunduchi lililofanyika katika viwanja  vya Kae Kuu Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja leo 16-7-2024 na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamati ya Mwaka Kogwa.Mwita Masemo Makungu na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya vyakula vya asili kutoka kwa Mzee wa Makunduchi Bi.Amina Ubwa Ali,baada ya kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa 2024, linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja leo 16-7-2024.na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono na kuwasalimia Wananchi wa Makunduchi wakati akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi na kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa 2024,linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja leo 16-7-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wa Makunduchi wakati akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi na kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa 2024,linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja leo 16-7-2024
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja wakishangilia baada ya kuchomwa moto kibanda wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Mwaka Kogwa linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi, lililofunguliwa leo 16-07-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja wakishangilia baada ya kuchomwa moto kibanda wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Mwaka Kogwa linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi, lililofunguliwa leo 16-07-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja wakishangilia baada ya kuchomwa moto kibanda wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Mwaka Kogwa linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi, lililofunguliwa leo 16-07-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja wakishangilia baada ya kuchomwa moto kibanda wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Mwaka Kogwa linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi, lililofunguliwa leo 16-07-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wa Kusini na Kaskazi wakipigana kwa mabuwa ya mgomba baada ya kufunguliwa kwa Tamasha la Mwaka Kogwa 2024, lililofunguliwa leo 16-7-2024, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi
WANANCHI wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wa Kusini na Kaskazi wakipigana kwa mabuwa ya mgomba baada ya kufunguliwa kwa Tamasha la Mwaka Kogwa 2024, lililofunguliwa leo 16-7-2024, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi
RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwahutubia Wananchi wa Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa 2024, linalofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja leo 16-7-2024

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.