MAPOKEZI ya Ndege Mpya ya Shirika la Ndege
Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8
Dreamliner ikiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, ikitokea Nchini Marekani
ikipokelewa kwa heshima na kumwagiwa
maji na gari za Zimamoto kiwanjani hapo leo 20-8-2024, wakati ikiwasili na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja
wa Afrika
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo
amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Um...
8 minutes ago























No comments:
Post a Comment