MAPOKEZI ya Ndege Mpya ya Shirika la Ndege
Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8
Dreamliner ikiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, ikitokea Nchini Marekani
ikipokelewa kwa heshima na kumwagiwa
maji na gari za Zimamoto kiwanjani hapo leo 20-8-2024, wakati ikiwasili na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment