MAPOKEZI ya Ndege Mpya ya Shirika la Ndege
Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8
Dreamliner ikiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, ikitokea Nchini Marekani
ikipokelewa kwa heshima na kumwagiwa
maji na gari za Zimamoto kiwanjani hapo leo 20-8-2024, wakati ikiwasili na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
Dkt.Biteko:VETA inajukumu la kuibadilisha Tanzania kwa vijana kupata ufundi
stadi
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ina uwezo na j...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment