Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira (kulia) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Skuli ya Dunga, Wilaya ya Kati Mkoa Kusini, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omar (kushoto) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Walimu Bububu, Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa wa Mjini Magharibi, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omar (kushoto) akiangalia namna Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waliokuwa katika mafunzo wakifanya mazoezi ya uboreshaji kwa vitendo katika kituo cha Walimu Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi B Mkoa wa wa Mjini Magharibi, Zanzibar Oktoba 5, 2024. Zanzibar inaanza Uboreshaji wa Daftari Oktoba 07 hadi Oktoba 13, 2024 na vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni. (Picha na INEC).
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya
Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco
Chapo mar...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment