Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Morogoro kwa kutumia usafiri wa Treni ya SGR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wananchi baada ya kuwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani Morogoro tarehe 23 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani Morogoro ambapo alisafiri kwa Treni ya SGR kutokea Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Novemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima mara baada ya kuwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani Morogoro tarehe 23 Novemba,


 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani Morogoro ambapo alisafiri kwa Treni ya SGR kutokea Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Novemba, 2024.

 

Picha namba 05. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima mara baada ya kuwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani Morogoro tarehe 23 Novemba, 2024.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.