Habari za Punde

Maadhimisho Siku ya Mji Mkongwe Viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 

Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais 

wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Katibu wa Baraza la 

Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed 

Said, wakipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Makumbusho ya 

Makaburi ya Masultali waliotawala Zanzibar, Bi, Zuhura Ali 

Juma, yaliyoko katika Nyumba ya Wananchi Forodhani 

Zanzibar, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Mji 

Mkongwe Zanzibar, yaliyoadhimisha katika viwanja vya 

bustani ya Forodhani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 2-12-2024




















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.