MUONEKANO wa Majengo ya Mradi wa Hoteli ya SSPD –Buhairan –Plan Hotel SA,
inayojengwa Bwejuu Mkoa wa Kusini Unguja, iliyowekwa Jiwe la Msingi la ujenzi
wake na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi leo 6-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
TANZANIA YANG’ARA TENA TUZO ZA DUNIA ZA UTALII 2025 – BAHRAIN
-
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA imeendelea kuthibitisha ubora wake duniani baada ya kunyakua tuzo
kubwa za World Travel Awards ngazi ya Dunia, mara baada ya kun...
49 minutes ago



















0 Comments