RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya uzinduzi wa Boti Tatu za kubebea Wagonjwa “Ambulance Boat”, uzinduzi huo
uliyofanyika leo 19-2-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.
Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Boti tatu za kusafirisha
Wagonjwa “Ambulance Boat” uzinduzi huo uliyofanyika leo 19-2-2025, katika eneo
la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na (kulia kwa
Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na Kaimu Mkurugenzi
Benki ya Dunia Milena Stefanova na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwa Rais) Meneja wa Benki ya Dunia
Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Dkt. Ernest Massiah
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika moja ya Boti za Kusafirisha
Wagonjwa “Ambulance Boat” baada ya kuzizindua
leo 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.


Kaimu Mkurugenzi Benki ya Dunia Milena Stefanova akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirishia Wagonjwa "Ambulance Boat" uzinduzi huo uliofanyika leon 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.

Meneja wa Benki ya Dunia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Dkt. Ernest Massiah akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirishia Wagonjwa "Ambulance Boat" uzinduzi huo uliofanyika leon 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Miraji Mzee atowa maelezo ya kitaalamu wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirishia Wagonjwa "Ambulance Boat" uzinduzi huo uliofanyika leon 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.

Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wananchi, katika hafla ya Uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirishia Wagonjwa "Ambulance Boat" uzinduzi huo uliofanyika leon 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Boti
Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance
Boat” uzinduzi huo uliyofanyika lkatika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Jijini
Zanzibar leo 19-2-2025.
WAFANYAKAZI
Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti
Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025.
WAFANYAKAZI
Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti
Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025.
WAFANYAKAZI Wizara ya Afya Zanzibar na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” uzinduzi huo uliyofanyika katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
WAFANYAKAZI
Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti
Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025WAFANYAKAZI
Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti
Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya
Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
WAFANYAKAZI Wizara ya Afya Zanzibar na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” uzinduzi huo uliyofanyika katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025.

No comments:
Post a Comment