Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba Katika Iftaar Aliyowaandalia

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha tende Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi kwa ajili ya kufungulia saumu, wakati wa hafla ya Iftaar ya pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba, iliyofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba, iliyofanyika jana 18-3-2025.

BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi  katika futari maalumu iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika katika  ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Kibirizi Chakechake Pemba jana 18-3-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliyofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba iliyofanyika jana 18-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliyofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba iliyofanyika jana 18-3-2025.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Iftaar ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba jana 18-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali na Wananchi katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Iftaar ya pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba iliyofanyika jana 18-3-2025 katika ukumbi wa Kiwanja cha Fufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali na Wananchi katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Iftaar ya pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba iliyofanyika jana 18-3-2025 katika ukumbi wa Kiwanja cha Fufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Iftaar ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba jana 18-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Rashid Hadid, zilizotolewa na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kumalizika kwa Iftaar ya pamoja, iliyofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Kufurahisha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba jana 18-3-2025.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.