Habari za Punde

MABALOZI 60 WAWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA MAALUM KUANGALIA VIVUTIO VYA UATALII.

Mabalozi  waliofika Zanzibar kwa Ziara Maalum ya kutembelea Sehemu mbalimbali na kuangalia Vivutio vya Utalii wakipokelewa na Kuangalia Burudani ya Ngoma ya Msewe mara baada ya Kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume Zanzibar .Jumla ya Mabalozi 60 wanaowakilisha Nchi zaidi ya 40 pamoja na Mashirika ya Kimataifa ,Afrika ,Ulaya na Asia waliwasili.

Mkuu wa Jengo la Baitil Amani Heri Bakari akitolea maelezo kuhusiana na Makumbusho ya Jengo hilo kwa  Mabalozi  waliofika Zanzibar kwa Ziara Maalum ya kutembelea Sehemu mbalimbali, kuangalia Vivutio vya Utalii Zanzibar  .Jumla ya Mabalozi 60 wanaowakilisha Nchi zaidi ya 40 pamoja na Mashirika ya Kimataifa ,Afrika ,Ulaya na Asia waliwasili.







Muonekano wa Sub marine iliowabeba Mabalozi kwa ajili ya kuangalia Samaki na Vivutio mbalimbali vya Baharini  wakati walipowasili kwa Ziara Maalum ya kutembelea Sehemu mbalimbali, kuangalia Vivutio vya Utalii  Zanzibar  .Jumla ya Mabalozi 60 wanaowakilisha Nchi zaidi ya 40 pamoja na Mashirika ya Kimataifa ,Afrika ,Ulaya na Asia waliwasili.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.