Habari za Punde

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Familia katika Sala ya Maiti kumsalia Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkunazini Zanzibar (CUF) iliyofanyika katika Masjid Jibril Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2025 na (kulia kwa Rais) Mtoto wa Marehemu,Waheed Muhammad Ibrahim Sanya na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais)  Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj Dkt. Haroun Ali Suleiman



 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Familia katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkunazini Zanzibar (CUF) baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti ,iliyofanyika katika Masjid Jibril Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2025 na (kulia kwa Rais) Mtoto wa Marehemu,Waheed Muhammad Ibrahim Sanya na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais)  Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj Dkt. Haroun Ali Suleiman.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, ya Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkunazini Zanzibar (CUF) iliyofanyika katika Masjid Jibril Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wazira wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui, baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, ya Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkunazini Zanzibar (CUF) iliyofanyika katika Masjid Jibril Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2025.


WANANCHI wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa marehemu Muhammad Ibrahim Sanya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mkunazini Zanzibar (CUF) baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti iliyofanyika katika Masjid Jibril Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2025 na kuzikwa katika makaburi ya Sunni Jamaat Kijitoupele Wilaya ya Magharibi “B Unguja




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.