Askari wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Songwe Koplo Rajabu Said na Konstebo Cosmas Kagiligili wakiwa na bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini Karim Mandonga (Mtu Kazi) Mei 02, 2025 baada ya kumpa elimu ya usalama barabarani walipokutana naye Kata ya Mahenje akitokea Mkoa wa Mbeya na kuelekea Mji wa Tunduma Wilaya ya Momba Mkoani Songwe.
Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Yaagizwa Kudhibiti Michezo Haramu
-
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akijibu swali la
Mbunge wa Bagamoyo, Mhe. Muharami Shabani Mkenge, aliyetaka kujua mpango wa
Serikali...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment