Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha United Democratic Party (UDP), Mhe. Saum Hussein Rashid. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Juma Khamis Faki (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 15, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).
SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA FURSA, KWA WAKULIMA WA MWANI
-
NA. MWANDISHI WETU – TANGA
SERIKALI imewataka wakulima wa mwani nchini kutumia mbinu bora na za kisasa
za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na kuo...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment