Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wazee, Ikulu Chamwino, Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wazee wa Tanzania, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27, Agosti 2025.


Viongozi na Wazee mbalimbali waliohudhuria mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27, Agosti 2025.


Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Wazee Taifa, Mzee David Lameck Sendo akizungumza kwa niaba ya Wazee wakati wa mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27, Agosti 2025.

Viongozi na Wazee mbalimbali waliohudhuria mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27, Agosti 2025.




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.