Mshambuliaji wa Timu ya Junguni na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 Uwanja wa Mao Zdung.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 4-0.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung
Timu ya Muembemakumbi City Imeshinda Bao 2-0- Dhidi ya Timu ya Chipukuzi
-
Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City akimpita beki wa Timu ya Chipukizi
wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika leo
20-10-...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment