Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Uhamiaji na Junguni Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu ya Uhamiaji Imeshinda kwa Bao 4-0

Mshambuliaji wa Timu ya Junguni  na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 Uwanja wa Mao Zdung.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 4-0.









 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.