Habari za Punde

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na wananchi wa Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Ikwiriri katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

Shamra shamra wakati Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa mkutano wa Kampeni za Uchaguzi za CCM, Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.









Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani tarehe 20 Oktoba, 2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.