Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mama Getrude Mutharika, Mke wa Rais wa Malawi, Profesa Arthur Mutharika alipomwakilisaha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uapisho wa Rais huyo uliofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu, Blantyre nchini humo Oktoba 4, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Rais wa Malawi na Jaji Mstaafu Dkt. Jane Ansah alipomwakilisaha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uapisho wa Rais mteule wa Malawi, Profesa. Arthur. Mutharika uliofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu, Oktoba4, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Rais wa Msumbiji, Daniel Chapo alipomwakilisaha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uapisho wa Rais mteule wa Malawi, Profesa. Arthur. Mutharika uliofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu uliopo Blantyre, Oktoba4, 2025.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpongeza Rais wa Malawi Prof. Arther Mutharika katika sherehe za kumuapisha Rais huyo zilizofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu, Blantyre nchini humo Oktoba 04, 2025. Kulia ni mkewe Getrude Mutharika. Mheshimiwa Majaliwa alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe hizo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi Rais wa Malawi Prof. Arther Mutharika ujumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipomwakilisha Rais Dkt. Samia katika sherehe za kumuapisha Rais wa Malawi, kwenye uwanja wa Kamuzu, Blantyre nchini humo Oktoba 04, 2025.
Rais wa Malawi Profesa Arthur Mutharika akizungumza baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Kamuzu uliopo Blantyre nchini Malawi, Oktoba 4, 2025. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho huo.
Rais Mstaafu wa Malawi, Bakili Muluzi alikuwa miongoni mwa viongozi waliohudhuria katika Uapisho wa Rais mteule wa Malawi, Profesa. Arthur. Mutharika kwenye uwanja wa Kamuzu, Oktoba4, 2025. Waziri Mkuu alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uapisho huo.
Rais wa zamani wa Malawi, Joyce Banda alikuwa miongoni mwa washiriki wa sherehe za Uapisho wa Rais mteule wa Malawi, Profesa. Arthur. Mutharika uliofanyika kwenye uwanja wa Kamuzu uliopo Blantyre, Oktoba 4, 2025.. Waziri Mkuu, Kassim Majliwa alimwakilisha Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan katika sherehe hizo, Oktoba4, 2025.
No comments:
Post a Comment