Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Zanzibar (AFP) Said Soud Said
Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima Zanzibar Alliance For Tanzania Farmers Party Said Soud Said akishindikizwa Afisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar. akiingia viwanja vya tume Maisara.
Wanachama wa Chama cha Wakulima Zanzibar wakiwa Afisi ya Tume ya Uchaguzi wakimshindikiza Mgombea wao.
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wakulima Zanzibar (AFP) Said Soud Said akiwa na baadhi ya Wanachama wa chama hicho wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akitowa maelezo ya jinsi ya muongozo wa baadhi ya fomu hizo kujaza.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Khatib Mwinyichande akimkabidhi fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Chama cha Wakilma Said Soud Said alipofika afisi za Tume Maisara
No comments:
Post a Comment