KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
8 hours ago
Wacha nibahatishe kama bado naikumbuka zanzibar, hapa ni eneo la Kikwajuni chini ukikaa kwa juu kutokea uwanja wa Mao Tse Tung na klabu ya kikwajuni kama unaendea msikiti wa kikwajuni juu kwa Bacho.
ReplyDeleteUmejaribu lakini bado hujaagua. Kumbuka maeneo ya Kikwajuni hayana miti mingi kama kulivyo hapa.
ReplyDeleteThanks for trying
Mapara
Mzee hiyo ulichukua chakechake Pemba hiyo siku ulikuwa umekaa hotel ya chake nakumbuka mzeee
ReplyDeleteNi kweli hapa ni eneo la Chake chake ni upande wa kushoto kama ukiteremka kuelekea Tibirinzi. Lakini panaitwaje? Jee eneo hili lnaitwa Mkungu Malofa au ni upande wa pili ndio kunaitwa hivyo.
ReplyDeleteMdau
USA
Naam,hapa ni maeneo ya Mkungu Malofa,na hizo skyscrapers uzionazo kwa juu ni
ReplyDeleteza mtaa wa biashara wa Misufini.
Ni sawa wakuu, hapa ni Mkungu Malofa na picha hii ilipigwa kutokea Hoteli ya Chake chake.
ReplyDeleteTunawashukuru wote ambao kumbukumbu zenu bado ziko fit.