NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Said Shaaban akizinduwa Chama cha Mchezo wa Pikipiki Zanzibar katika Viwanja vya Kisonge Michezani.
WANAMICHEZO wa Mchezo wa Pikipiki Zanzibar wakijiandaa kwa kuonesho mchezo huo katika kiwanja cha Kisonge Michezani.
WANANCHI waliofika kuangalia uzinduzi wa Chama cha Mchezo wa Pikipiki ZANZIBAR, wakifuatilia mchezo huo uliofanyika kiwanja cha Kisonge Michezani na kuwashirikisha Mafundi wa Pikipiki wa Gereji za Rahaleo kwa Bogoyo.
ABDUL Salum Bogoyo ambaye ni mtoto wa marehemu Bogoyo akiwa ni moja wa wanamichezo wa mchezo wa kurusha pikipiki uliozinduzliwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo Zanzibar Said Shaaban katika Kiwanja cha Kisonge MICHEZANI.
MPANDA Pikipiki akionesha umahiri wake wa kurusha pikipiki katika moja ya mchezo wa uzinduzi wa chama chao cha Michezo ya Pikipiki Zanzibar. |
WAZAZI wa Vijana Wapanda Pikipiki wakiwa katika sare ya Chama hicho wakiwaunga mkono watoto wao katika uzinduzi wa Chama cha uliofanyika kiwanja cha Kisonge Michezani.Wakiongozwa na Bi. Mtembezi Bogoyo katikati mwenye miwani.
No comments:
Post a Comment