SAGAMAWE la kampuni ya Ujenzi ya MECCO inayojenga barabara mpya ya Bumbwini Mfenesini likiweka sawa kifusi ili kuweza kuweka lami baada ya kujengwa upya na kutanuliwa, kama mdau alivyowakuta wafanyakazi hawa wakiendelea na kazi hiyo wakiwa maeneo ya Fujoni
DKT. MWIGULU AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA KUZINGATIA MISINGI YA
KAZI NA UTAWALA BORA
-
Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewataka Watumishi
wa Wizara ya Fedha...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment