MUWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vilioko zanzibar kuhusu kuwasilisha hoja yake binafsi anayokusudia kuiwakilisha katika mkutano wa baraza unaoendelea, kuhusu utaratibu wa uandaaji wa Katiba Mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. mkutano uliofanyika Afisi za CUF Vuga. Kulia ni Salum Bimani.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment