MUWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vilioko zanzibar kuhusu kuwasilisha hoja yake binafsi anayokusudia kuiwakilisha katika mkutano wa baraza unaoendelea, kuhusu utaratibu wa uandaaji wa Katiba Mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. mkutano uliofanyika Afisi za CUF Vuga. Kulia ni Salum Bimani.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment