Habari za Punde

KLABU BINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI JKU NA POLISI MOROGORO.

 MCHEZAJI wa timu ya Polisi Morogoro Mathalena  Muhagama ( GS) akidaka mpira huku  mchezaji wa timu ya JKU Zanzibar Hamida Sunday (GK), akijiandaa kumzuwia katika mchezo wa Klabu Bingwa uliofanyika uwanja wa Gmykhana asubuhi timu ya JKU imetoka kivua mbele. 
 MCHEZAJI wa timu ya Polisi Morogoro Nyirabu Maximulian ( GA)  akijiandaa kufunga  golini mwa timu ya JKU Zanzibar. 
WACHEZAJI  timu ya Polisi na JKU  wakiwania mpira katika mchezo wa Netiboli wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati kulia Nyirabu (GA0 na Magret (GD)     
MATHALENA  Muhagama ( GS) ili kujianda kufunga kuipitia timu yake ushindi. dhidi ya timu ya JKU.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.