Mmoja kati ya marafiki zake wakubwa marehemu Abdulrahman Mohamed Babu, Profesa wa sheria kwenye chuo kikuu cha North Carolina, Bereket Habte Selassie (pichani) akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Babu alipofika Zanzibar akiwa njiani kwenda Dar Es Salaam kuhudhuria mkutano wa Nyerere Foundation hivi majuzi.
Picha na Martin Kabemba
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment