MZEE Ramadhani Chagaka akisomewa gazeti na Mtoto wake Rukia Ramadhani (10) mweanafunzi wa darasa la tana skuli ya ST. Francis Maria, ambaye anapata elimu kwa njia ya kusaidiwa na Uongozi wa Skuli hiyo kutokana na Mzazi wake hana uwezo wa kumsomesha , ambaye ni mlemavu wa wa miguu, huishi kwa kutegemea kuomba misaada kwa Wananchi,
MAMA MARIAM MWINYI AKUTANA NA MKE WA RAIS WA FINLAND
-
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam Mwinyi,
ameihakikishi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment