MZEE Ramadhani Chagaka akisomewa gazeti na Mtoto wake Rukia Ramadhani (10) mweanafunzi wa darasa la tana skuli ya ST. Francis Maria, ambaye anapata elimu kwa njia ya kusaidiwa na Uongozi wa Skuli hiyo kutokana na Mzazi wake hana uwezo wa kumsomesha , ambaye ni mlemavu wa wa miguu, huishi kwa kutegemea kuomba misaada kwa Wananchi,
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment