MZEE Ramadhani Chagaka akisomewa gazeti na Mtoto wake Rukia Ramadhani (10) mweanafunzi wa darasa la tana skuli ya ST. Francis Maria, ambaye anapata elimu kwa njia ya kusaidiwa na Uongozi wa Skuli hiyo kutokana na Mzazi wake hana uwezo wa kumsomesha , ambaye ni mlemavu wa wa miguu, huishi kwa kutegemea kuomba misaada kwa Wananchi,
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment