UNAMKUMBUKA Mzee Ali wa Skuli ya Hurumzi akifanya biashara ya kunazi, embe na mapera bado akiwa na shughuli ile ile ulomuacha wewe wakati ukisoma skuli hiyo, kama anavyoonekana akiwa katika kazi yake.
MAMA MARIAM MWINYI AKUTANA NA MKE WA RAIS WA FINLAND
-
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam Mwinyi,
ameihakikishi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment