WAFANYAKAZI wa michirizi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiufanyia usafi mmoja wa mtaro ulioko katika Mji Mkongwe ili kupitisha maji machafu yanayozalishwa katika maeneo hayo. Naona Mheshimiwa anapiga kazi bila ya zana za kujikinga ( Glovu)
TUTAKWENDA KUWA CHACHU YA UONGOZI - MKURUGENZI TACAIDS
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
WAHITIMU wa mafunzo kutoka Taasisi za Umma na wametakiwa kwenda kuwa
mabalozi wazuri na kuleta mabadiliko katika sehemu wana...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment