WAFANYAKAZI wa michirizi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiufanyia usafi mmoja wa mtaro ulioko katika Mji Mkongwe ili kupitisha maji machafu yanayozalishwa katika maeneo hayo. Naona Mheshimiwa anapiga kazi bila ya zana za kujikinga ( Glovu)
ZIMBABWE YATAMBUA MCHANGO WA TANZANIA UKOMBOZI WA NCHI KUSINI MWA AFRIKA
-
*Zimbabwe yaiheshimu Tanzania kwa mchango wake katika ukombozi wa Kusini
mwa Afrika
SERIKALI ya Zimbabwe leo imetoa heshima na shukrani kwa Tanzania kw...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment