Habari za Punde

MECHI ZA MASKANI ZAPAMBA MOTO KIWANJA CHA KIKWAJINI MNAZI MMOJA KATIKA KIPNDI CHA RAMADHANI.

M
 BENCHI la timu ya Maskani ya Medson Vetenari  wakifuatili mchezo wao na maskani ya Rasta Kipara.

 Mchezaji wa maskani Rasta Kipara Yunus Roma  kulia  akimpita beki wa Medson Vetenari.maskani Rasta Kipara imeibuka mshindi 2-1

 Golikipa wa Maskani ya Medson iTaimur Mohammed  haamini msacho yake kuwa hilo ni goli la kwanza likimpita.  

 Beki wa timu ya Medson akimkata kwanja mshambuliaji wa maskani ya Rasta Kipara katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kuingia robo fainal.  

 Beki wa Maskani ya Medson  Adaya  akitambaa na mikono baada ya kupigwa chenga na mshambuliaji wa Rasta Kipara Ali Hilal Lee. 

 WADAU wa mchezo wa mpira wakiwa katika uwanja wa Kikwajuni wakifuatilia mchezo huo  vijana wengi kipindi hicho cha mfungo hutumia muda wao katika viwanja vya mpira.

 Mshambuliaji  wa Maskani ya Rasta Kipara Yunus Roma akiwapita wachezaji wa Medson.  

 Wachezaji wa  Maskabni ya Rasta Kipara wakiwa mapumziko baada ya mchezo wao na Medson  wakiwa mbele kwa bao moja dhidi ya Medson. 

 Kushoto Hamid wa maskani ya Rasta Kipara akimiliki mpira  na Suleiman wa Medson  akijiandaa kumzuiya asilete  maafa golini kwao. 
 Mchezaji wa Maskani ya Oklahoma ya Michezani Shaban Naossr akimtoka beki wa Maskani ya Kijiweni Kisimamajongoo Ali Mta akijaribu kumzuiya katika mechi  za maskani zilizoandaliwa na maskani ya sunshine maskani ya Kijiweni imeshinda 1-- 0.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.