Habari za Punde

DK SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA CHUO KIKUU CHA SOUTH CAROLINA CHA MAREKANI


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Dr George Cooper,Rais wa Chuo Kikuu cha South Carolina State University Nchini Marekani,akiongoza ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na ujumbe wa Chuo kikuu cha South Carolina State University, cha Nchini Marekani,ukiongozwa na Dr George Cooper,Rais wa Chuo hicho,(katikati), walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.