Wadau wa Oostende, Belgium tunatuma salamu za rambi rambi kwa majirani zetu Kenya kwa ajali iliyotokea kwa moto tunaendelea kuomboleza kwa ajali ya meli iliyotokea Zanzibar na vile vile tunaungana na wenzetu wa Kenya kwa janga la moto.
Mungu awarehemu waliofika mbele ya haki na Mungu awape nafuu majeruhi
Ameen
No comments:
Post a Comment