Habari za Punde

UMOJA WA KIISLAMU UCHUMI NA MAENDELEO (UKUEM) WATOA MSAADA KWA WAHANGA WA MELI YA MV SPICE.

MAMKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea msaada wa Jumuiya ya Umoja wa Kiislam Uchumi na Maendeleo akikabidhi mwakilishi wake Sheikh. Talib Juma Ali, alipofika Ofisi ya Makamu Vuga Leo.  
 MAMAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitowa shukrani kwa umoja huo kwa msaada wao kwaWananchi  waliopata janga hilo.

WAANDISHI wa habari wakiwa katika makabidhiano ya misaada hiyo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.