HARAKATI za hapa na pale katika mtaa wa Darajani zikizidi kila siku kwa huduma ya biashara katika mji huo wa Stone Town.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
Hivi hili jumba refu kama treni hapa darajani mmiliki wake nani? linachafua mandhari yote ya mji! halifanyiwi ukarabati wala kupakwa rangi na lina maduka tele na wapangaji ndani yake, tuseme hawalipi kodi au ndio katika kero za Muungano hizi? Kuna wakati mwl. wangu wa mathmatics alitaka makontena ya darajani yaondolewe yanachafua mandhari ya mji, haya..hiyo 'treni'????
ReplyDelete