Mwakilishi wa Mkwajuni Mbarouk Wadi Mtando, akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa nafasi za wanawake, Wanu Hafidh Amer nje ya ukumbi wa Baraza la wawakilishi huko chukwani Zanzibar
Wanafunzi kutoka katika Skuli mbalimbali wakisikiliza yaliyojiri katikaBaraza la wawakilishi linaloendelea kujadili na kupitisha miswada mbalimbali huko Chukwani nje ya mji wa Zanzibar
Mwakilishi wa Kitope Makame Mshimba Mbarouk akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Amani, Fatma Mbarouk Saidi nje ya ukumbi wa Baraza la wawakilishi huko Chukwani nje ya mji wa Zanzibar.
Picha zote na Yussuf Simai - Maelezo
MHE. MCHENGERWA AWAOMBA WANARUFIJI WOTE DUNIANI KUJA KUMPOKEA RAIS SAMIA.
-
Na Yohana Kidaga- Muhoro, Rufiji
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa
Wanarufiji na Wandengereko wote duniani kufik...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment