Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii ya Zanzibar
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania
Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan
Leo ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi.
Asanteni,
URBAN PULSE CREATIVE
No comments:
Post a Comment