Habari za Punde

JUMUIYA YA AFRIKA YANG'ARA NDANI YA WORLD TRADE MARKET UINGEREZA

Frank, Bw Issa na Bi Jestina
Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii ya Zanzibar
Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania
Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan

Leo ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi.

Asanteni,


URBAN PULSE CREATIVE

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.