Wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakiwa katika mazoezi, katika Uwanja wa kijiji cha Al Maad Olimpiki Centre, Misri, ambako timu hiyo imeweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Chalenji, Wanaoonekana mbele, kutoka kushoto ni Abdulhalim Humud, Suleiman Kassim na Khamis Mcha 'Viali'. ( Picha kwa Hisani ya ZFA).
MAIKO SALALI WA FDH AINGIA KINYANG'ANYILO CHA UBUNGE JIMBO LA MPWAPWA
-
MKURUGENZI wa Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Disability
Hope FDH Maiko Salali, ameingia rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kugombea
Ubunge k...
30 minutes ago
hawa ni Timu ya vijana au wakubwa maana naona hawana miili ya kiutu uzima kama wachezaji wa zamani kina koresheni,Inosent haule,shaban mussa, na wengineo. inaonekana lishe hakuna kweli tutasonga mbele??
ReplyDelete