Habari za Punde

BARABARA YA AMANI - DUNGA YAKARIBIA KUMALIZIKA


WAFANYAKAZI wa Kampuni ya MECCO inayojenga barabara ya Amani Dunga, wakiweka lami katika barabara hiyo maeneo ya Amani Welezo ikiwa katika hatuwa za mwisho za ujenzi huo.

(Picha na Ali Athuman)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.