Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza kwenye mkutano wa majadiliano wa Viongozi wakuu wa Nchi wanachama 194 wa Itifaki wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi, juu ya kupunguza uzalishaji wa gesijoto Duniani kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 17 wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi Duniani uliofanyika jana Desemba 6, mjini Daban. Picha na Amour Nassor-OMR
Mtia nia ya Ubunge Kigamboni Aweka Mahitaji ya Wanakigamboni
-
Na Mwandishi Wetu
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kibada
Wilaya ya Kigamboni Dkt.Nazar Kirama amerudisha fomu ya kuomba ...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment