Mpiga picha wa Daily News na mmiliki wa Blog Maarufu ya jamii Issamichuzi.blogspot.com akibadilishana mawazo, mikakati na mpiga picha wa Zanzibar Leo na mmiliki wa blog ya zanzinews.blogspot.com.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
3 hours ago
wazee, najua mnabadilishana uzoefu, hongereni kwa kazi mnayoifanya!..Mungu awabariki.
ReplyDeleteMzee Othman zungumza na Michuzi akuunganishie matangazo ya biashara uengeze kipato kidogo...
ReplyDelete