Mabaki ya Viwanja vya Nyumba Nane zilizoteketea kwa Moto katika maeneo ya Kiwengwa Mchekeni juzi, na kusababisha Familia za nyumba hizi kukosa pa kukaa kutokana na janga hilo la moto ulioazia katika moja ya nyumba hizo.
 Wasamaria wema wakitowa msada wa kuokoa mali za Wananchi waliounguliwa na Nyumba zao. 
 

 
.jpeg) 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment