KATIKA mfululizo wa michuano ya kuwania kombe la ‘Maulid Hamad’ iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Zanzibar (TASWA-ZANZIBAR), timu ya Marijuana iliishinda Good Time kwa mikwaju ya penelti 4-3.
Aidha hali kama hiyo ilijiri juzi, ambapo Mpendae ililazimika kushinda dhidi ya Magic kwa mikwaju ya penelti 4-3.
Ilibidi wanaume hao kuhukumiana kwa penelti baada ya kuzitafuna dakika 90 za mchezo bila kufungana.
No comments:
Post a Comment