Habari za Punde

Rais Kikwete Akiwa Brazil

Mhe. Rais Jakaya  Kikwete pamoja na Mkewe Mama Salma wakiwa na baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, mjini Brasilia DF ambapo Rais alikuwa katika ziara ya Siku tano nchini humo


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais Jakaya  Kikwete, Mhe. Francis Malambugi, Balozi wa Tanzania nchini Brasil  (kulia) na Bw. Ali Ubwa Mussa, Afisa Wizara ya Mambo ya Nje (kushoto).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.