Mdau wa Makamu wa Pili wa Rais Kaka Hassan Issa, Mdau Amour Nassor wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Mdau wa Blog hii Othman Maulid, Mdau Ramadhan Othman wa Rais wa Zanzibar na Mdau Sufiani Mafoto wa Makamu wa Rais wa Tanzania, wakiwa katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisuwandui wakisubiri kupiga kazi ili kuwewezesha wadau wa habari kupata vitu vya uhakikika katika hafla hiyo ya kisomo cha Khitma.
MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO
-
Na Said Mwishehe
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika
tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la Kumbilamo...
1 hour ago
Kaka Mapara, sikuweza kukutambua mara moja kutokana na 'kiuwa'..mambo ya Zenj hayo!
ReplyDeleteHongereni kwa kazi nzuri mnayoifanya!