Tunatoa salamu za rambirambi kutokana na kifo cha msanii wetu maarufu steven kanumba kilichotokea usiku wa kuamkia leo tunaungana na watanzania wenzetu na familia yake kwa ujumla kuomboleza msiba huu mkubwa ambao umeshitua dunia.
mungu atupe subira kwa sote katika kipindi hiki kigumu
kutoka kwa wadau Oostende na Leuven
Belgium
AMEEN KANUMBA NI KIPAJI AMBACHO NI VIGUMU KUKIPATA ILA MWENYEZI MUNGU KATUPA NA KAKISHUKUWA
ReplyDelete