Wafanyakazi wa Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani wakibomowa jengo la mgahawa huo uliojengwa katika ufukwe wa pawani ya hiyo baada, kama inavyooneka mafundi wakiwa katika harakati za uvunjaji huo uliofanyika hivi karibuni katika eneo hilo.
Jengo la Mgahawahuo likionekana mandhari yake katika ufukwe wa pawani hiyo ya Kilimani kuelekea ngazi mia.
No comments:
Post a Comment