Mdau mambo ya Reli wakati huo unaweza ukasema iko mahali gani ikipita hii reli mdau wngu.
MAFURIKO BWAWA LA NYUMBA YA MUNGU YAWAKUMBA NGORIKA
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
BAADHI ya wakazi wa Kata ya Ngorika wilayani Simanjiro mkoani Manyara,
wamekumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na kufurika kw...
22 minutes ago
hapo ni kwenye daraja baina ya M/kumbi na Saateni au nimekosea?jengo unaloliona kama sikosei ni kambi ya jeshi
ReplyDeleteDuu...!,kaka hizi picha mnazitoa wapi?..Nadhani hili ni lile daraja la kupandishia Mtoni kwa kisasi.
ReplyDeleteMtoa maoni wa kwana naona umepatia , hilo jumba nafikiria ni jumba la mle JKU
ReplyDeletesasa Jamani munasifu mambo ya kale, hivi sasa yako wapi ? Au ndio faida za muungano kila kitu kimemezwa. Ah sisi innallillah.................
ReplyDeleteHapa zaidi tunaangalia gharama za ujinga (kukosa elimu) kwa watawala wa wakati huo( waarabu) na namna ilivyoigharimu Z'bar!
ReplyDeleteHivi inakuwaje kuwa na nchi tajiri kiasi hicho kwa wakati huo halafu tukaishia kuwa maskini wa kutupwa?
Nasema ni ujinga kwasababu inasemekana uchumi wa visiwani ulianza kuporomoka kidogo kidogo kutokana na ujinga wa 'wamanga' na kupenda starehe na baada ya mapinduzi wazee wetu tena wakaja kumalizia!
Inasemekana hata hiyo reli ilikufa 1927, na watu walishindwa hata kutunza yale mataruma ili yawe kumbukumbu kwa kizsazi kijacho na kituo chake cha mwisho kilikuwa mle ngome kongwe..elimu bwana?
Ndio maana tukaambiwa..
-IKRAA!!
-INNA MA YAKHSHA LLAH MIN IBADIHI AL ULAMAA!
-HAL YASTAWI ALLADHINA YAGHLAMUNA WA LLADHINA.. LA.. YAGHLAMUUN?
Kaka picha za Z'bar ya kale ukipata nyingine naomba utuwekee, zinakumbusha machungu lakini pia zinafuraisha.
ReplyDeleteLile jumba mle jku naskia ilikua Agakhani club, na lilikua moja ya majumba matata ya wakati huo lakini wapi? kama ilivyo kwa palace ya chukwani. wahadimu wamewaachia majeshi wayavunje!