Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja
na viongozi wengine akatika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari
hiyo Dk. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
KAIMU MKURUGENZI MKUU FCC ATEMBELEA BANDA LA WMA SABASABA
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma
Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la
Wakala Wa V...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment