Waziri wa nchi Afisi ya Rais Mhe Dk Mwinyihaji Makame akiwa katika mazungumzo na waliokuwa watendaji wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki walipokea wakitoa taarifa mbambali za Jumuiya hiyo
Waliokuwa Wabunge la Afrika Mashariki wakimsikiliza Dk Mwinyihaji kwa makini ( hayupo pichani) walipokutana naye hivi karibuni katika warsha iliyoandaliwa na kitengo cha Diaspora
Baadhi ya watendaji wa desk la Diaspora na mahusiano ya kimataifa pia walishiriki katika kikao hicho
Wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika warsha iliyofanyika mwaka jana
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment