Habari za Punde

Maonesho ya Tamasha la Jahazi Zanzibar ZIFF

 Msanii Synerg akipozi kwa aina yake wakati akitowa burudani katika jukwaa la ZIFF Ngome Kongwe.
 Msanii Synerg akitowa burudani kwa Wapenzi wake na wageni waliofika katika Tamasha la ZIFF Ngome Kongwe.

 Wananchi wakiduwa na Vitu vya Msanii Synerg, alipokuwa akilishambulia  jukwaa la ZIFF.
 Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Synerg, akitowa burudani katika Onesho la Tamasha la Nchi za Jahazi Zanzibar katika Viwanja vya Mambo Club Ngomekongwe.akiwa na kundoi lake likitowa burudani.
 Wasanii kutoka Comoro wakitowa burudani ya ngoma za asili ya Comoro katika Onesho lao katika Jukwaa la ZIFF, wakati wakitowa burudani kwa Wananchi waliohudhuria Tamasha hilo. 

 Wasanii kutoka  Visiwa vya Comoro wakionesha umahiri wao katika Tamasha hilo la ZIFF katika viwanja vya Ngome Kongwe Forodhani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.