RAIS wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari Tanzania akizungumza na Waandishi wa habari wa Pemba Press Club wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa PPC, ukumbi wa magofu Chakechake Pemba, Mwenyekiti wa PPC Khatib Juma Mjaja na kulia Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi wa PPC Rashid Abeid.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment