RAIS wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari Tanzania akizungumza na Waandishi wa habari wa Pemba Press Club wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa PPC, ukumbi wa magofu Chakechake Pemba, Mwenyekiti wa PPC Khatib Juma Mjaja na kulia Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi wa PPC Rashid Abeid.
USHINDI WA TANZANIA KWENYE TUZO ZA UTALII DUNIANI NI CHACHU YA KUENDELEA
KUTANGAZA MAZAO MAPYA YA UTALII NGORONGORO
-
Na Mwandishi Wetu.
Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi
inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya...
2 hours ago

0 Comments