Wakiwa katika pembea wakibembea kusherehekea sikukuu, baada ya mfungo wa mwezi wa Ramadhani wakijumuika na Waislam wengine dunia kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitry. baada ya mfungo wa mwezi wa Ramadhani kumalizika mwishoni mwa wiki hii.
Watoto wakisherehekea Sikukuu ya Eid el Fitry katika viwanja vya Tomondo Boys kwa michezo mbalimbali ilioko katika kiwanja hicho.

No comments:
Post a Comment