Habari za Punde

Makamo wa Waziri Mkuu wa China amaliza ziara ya Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiagana na Mgeni wake Naibu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Amani Karume mara baada ya klumaliza Ziara yake ya sku mbili
 Naibu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu akipunga mkono kuwaaga wenyeji wake baada ya kumaliza Ziara yake ya Siku mbili Zanzibar.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi wakatikati akipunga mkono kumuaga Rasmi Naibu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu alieondoka leo na kwenda Dare es Salaam baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Zanzibar

Picha na Yussuf Simai, Maelezo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.